SIKU YA MASHUJAA-barmedas.tv
Kumbu kumbu siku ya Mashujaa iliyofanyika Nchini kote, Mwaka huu 2015 Katika Mkoa wa Mwanza sherehe hizi za Mashujaa kuwakumbuka ndg zetu Wazalendo waliopigania Nchi hii ya Tanzania hakika walipoteza maisha yao , zilifanyika katika Bustani iliyopo kwenye mzunguko wa Barabara zinazoungana, Makongoro, Kenyatta, na Nyerere , sherehe fupi zilifanyika hapo na kuhudhuliwa na Watu wengi.
Viongozi mbali mbali walipata nafasi ya kuweka vifaa mbali mbali ishara ya kumbu kumbu kwa mashujaa hao , kama picha zinavyoonesha hapo chini.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh Magesa Mulongo nae alipata fursa ya kuwahutubia Wananchi waliofika kushuhudia Kumbukumbu hizo , Wanajeshi walionyesha umahili mkubwa walipofanya maonyesho yahusuyo maombolezo ikiwa ni pamoja na kupiga risasi juu ambapo milio Bunduki iliwachangaya Watu waliokuwa wamehudhulia Kumbu kumbu hizo hapo.
Viongozi mbali mbali walipata nafasi ya kuweka vifaa mbali mbali ishara ya kumbu kumbu kwa mashujaa hao , kama picha zinavyoonesha hapo chini.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh Magesa Mulongo nae alipata fursa ya kuwahutubia Wananchi waliofika kushuhudia Kumbukumbu hizo , Wanajeshi walionyesha umahili mkubwa walipofanya maonyesho yahusuyo maombolezo ikiwa ni pamoja na kupiga risasi juu ambapo milio Bunduki iliwachangaya Watu waliokuwa wamehudhulia Kumbu kumbu hizo hapo.
Comments
Post a Comment