RAIS MAGUFULI-barmedas.tv

Rais John Pombe Magufuli, amesisitiza kwamba kamwe hatakubaliana na Wafanya Biashara wachache wanaotaka kuwapora wananchi nguvu na juhudi zao kwa kuwagandamiza hapo kuiombea Nchi balaa ameapa hakika atawashughulikia pasipokujali itikadi zao.

Comments