RAIS MAGUFULI-barmedas.tv HD

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Gerson John Mdemu kuwa Naibu  Mwanasheria Mkuu wa Serkali Ikulu  Jijini Da - es - Salaam.

Picha chini Rais Magufuli akimpongeza mara baada ya kumuapisha Mdemu na akimtakia Afya njema ya kutekeleza majukumu aliyopatiwa sasa.

Comments

Popular Posts