Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa China, Xu Chen akisalimiana na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Rodney Thadeus wakati wa mkutano baina ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dkt. Hassan Abbasi (katikati) uliofanyika leo Alhamisi Mei 31, 2018 Jijini Dar es Salaam.


Comments