Pix 1:Mtaalamu Mshauri wa masuala ya rasiliamali fedha kutoka Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) Bi Hellen Nyagwa akifunga Mafunzo ya Mfumo wa Usimamizi wa fedha za Umma toleo la 10.2 (Epicor 10.2) kwa wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro yaliyokuwa yakifanyika Mkoani Iringa. Pix 2: Mtaalamu Mshauri wa masuala ya rasiliamali fedha kutoka Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) Bi Hellen Nyagwa(Aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wahasibu na waweka hazina wa Mafunzo ya Mfumo wa Usimamizi wa fedha za Umma toleo la 10.2 (Epicor 10.2) kutoka Morogoro na Iringa mara baada ya kufunga mafunzo hayo. Pix 3: Mtaalamu Mshauri wa masuala ya rasiliamali fedha kutoka Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) Bi Hellen Nyagwa(Aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wahasibu na waweka hazina wa Mafunzo ya Mfumo wa Usimamizi wa fedha za Umma toleo la 10.2 (Epicor 10.2) kutoka Tanga mara baada ya kufunga mafunzo hayo. Pix 4:Afisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw.James Mtatifikolo akitoa mada jinsi ya kutumia dawati la Msaada kwa watumiaji wa mfumo wa Usimamizi wa fedha za Umma toleo la Epicor 10.2 kwa wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro. Picha na Daudi Manongi,MAELEZO,IRINGA






Comments